Msanii wa muziki Beka Ibrozama amefunguka kwa kudai kwamba anajikubali anajua kuimba ndio maana mara nyingi amekuwa akionekana akijisifia licha ya kutofanya vizuri. Asema kwamwe hawezi kujishusha kwa kuwa anajua uwezo wake wa kuimba ni mkubwa na hakuna anayefanya vizuri.
Saturday, August 4, 2018
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

