Kwa mujibu wa kituo cha radio cha E FM, Manyika amesema kutokana na sababu hiyo sasa yeye ni mchezaji huru na anasubiri dirisha dogo aende kusaini timu nyingine aendelee na kazi.
Kwa sasa Manyika anafanya mazoezi kwenye kituo kinachosimamiwa na baba yake, Manyika ambaye pia ni kocha wa makipa wa timu za vijana za taifa.

